CHAGUA MOJA TU......NIKUUZIE
1. Ujanja wa nyani porini, mjini hata kuvuka
barabara hawezi.
2. Panga lake kupangua, kupanga si la upanga
3. Maji yakijaa chupa ndiyo mwisho wa kujaza.
4. Udi haulumbani na ubani.
5. Kioo hakina ila, ila ajitezamaye
6. Mchawi usiku, mchana mganga
No comments:
Post a Comment