HERI YA MWAKA MPYA
Awali ya yote tungependa kuwamwagia salamu nyingi za mwaka mpya wa 2016 tukiwa na inani kuwa mtakuwa hamjambo na mnaendelea vema na shughuli zenu za kila siku.
Kwa kuwa leo tulikuwa tunawaalika tu katika Blog hii tusingependa kuwachosha na maelezo ya nini ilikuwa sababu ya kupoteana; tunadhani mnachokihitaji zaidi ni huduma.
Tutaendelea kupashana na kutaarifiana mwenendo mzima kuhusiana na Blog yetu.
Tnachukua fulsa hii kuwaahidi mema kwa mwaka huu wa 2016. Tunawakaribisha wote.
Asanteni sana.
No comments:
Post a Comment