TAARIFA YA KUREJEA KUTOKA SAFARI
Baada ya kupotea kwa karibu viki tatu, kikosi kazi cha
Kivulini kwetu kimerejea tena ulingoni kuendelea na kuwapatia taarifa
mbalimbali za siku hadi siku kwa malengo yale yale ya kuwaelimisha
kuwahabarisha na kuwaburudisha ili wanachama wetu na wapenzi muweze kupata kile
ambacho roho zenu zinataka.
Kwa kipindi chote hicho ambacho hatukuwa hewani, tulikuwa
katika ziara ndefu ya kutembelea maeneo mbalimbali ya Kivulini kwetu ili
kujionea jinsi maisha ya jamii yetu yanavyokwenda. Katika ziara hii tumeona
mengi ambayo kwa faida ya jamii yetu tutakuwa tukiwapasha moja baada ya
jingine. Tunaomba ushirikiano wenu.
No comments:
Post a Comment