Friday, 19 September 2014





       TAARIFA YA KUREJEA KUTOKA SAFARI




Baada ya kupotea kwa karibu viki tatu, kikosi kazi cha Kivulini kwetu kimerejea tena ulingoni kuendelea na kuwapatia taarifa mbalimbali za siku hadi siku kwa malengo yale yale ya kuwaelimisha kuwahabarisha na kuwaburudisha ili wanachama wetu na wapenzi muweze kupata kile ambacho roho zenu zinataka.

Kwa kipindi chote hicho ambacho hatukuwa hewani, tulikuwa katika ziara ndefu ya kutembelea maeneo mbalimbali ya Kivulini kwetu ili kujionea jinsi maisha ya jamii yetu yanavyokwenda. Katika ziara hii tumeona mengi ambayo kwa faida ya jamii yetu tutakuwa tukiwapasha moja baada ya jingine. Tunaomba ushirikiano wenu.

No comments:

Post a Comment